Mwimbaji wa muziki wa RnB nchini, Belle 9 amefunguka sababu ya kutoa wimbo waInjili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwimbaji wa muziki wa RnB nchini, @belle9tz amefunguka sababu ya kutoa wimbo waInjili

Mkali huyo wa muda wote ameeleza kuwa miongoni mwa sababu za kufanya hivyo ni kutokana na ajali aliyoipata hivi karibuni akiwa na wasanii wenzake na kunusurika kifo. Belle 9 akiiambia XXL, Clouds FM.


Pia ameeleza kuwa kumekuwa na mengi mazuri katika maisha yake lakini hajapata kushukuru kupitia wimbo, kwa hiyo akaamua kufanya hivyo kupitia wimbo huo unaokwenda kwa jina la Asante.


Ikumbukwe, @belle9tz akiwa na Lulu Diva pamoja na Bonge la Nyau walipata ajali maeneo ya Chalinze wakitokea kwenye kampeni za uchaguzi mkuu (Tanzania) uliomalizika hivi karibuni

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad