Ndinga mpya aliyopewa 20 Percent yaleta utata

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Ni 'updates' za msanii wa kwanza wa BongoFleva kuchukua tuzo 5 mfululizo kwenye usiku mmoja 20 Percent ambaye amezua sintofahamu kutokana na majibu yake kuhusu gari aina ya Harrier aliyopewa kuitumia kwa sasa.

 

Akifunguka kuhusu gari hilo kupitia kamera za EATV & EA Radio Digital, 20 Percent amesema kuwa 


"Mimi natumia tu hilo gari sijui hata gharama zake, nipo nayo wiki ya pili sasa lakini siijui bei yake natembelea nayo kuna wengine wanazo kama 10 au 15 ndani kwao wanakupa tu utembelee nayo, mimi sio kiben-ten ni mchapakazi lakini natokea kwenye familia zenye uafadhali kuna wakati siimbi muziki lakini kwetu sikosi pesa ya mafuta" 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad