AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maelfu ya wakazi wa Harare, Ijumaa hii wamejitokeza barabarani kuutazama msafara mkubwa uliokuwa umebeba mwili wa mfanyabiashara wa Zimbabwe Genius “Ginimbi” Kadungure aliyefariki kwa ajali ya gari Jumapili iliyopita.
Mazishi yake yanafanyika Jumamosi hii kwenye makazi yake ya Domboshava
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK