Nyalandu Azuiwa Mpakani Akielekea Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Aliyekuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amezuiwa kutoka Tanzania kupitia mpaka wa Namanga.


Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Longido, Frank Mwaisumbe, Nyalandu ambaye amewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii hakuwa na nyaraka muhimu.


Amesema, Maafisa wa Uhamiaji wamemzuia kuondoka huku baadhi ya vitu alivyotaka kusafirisha vikishikiliwa mwanasiasa huyo ametakiwa kuwasilisha nyaraka husika na atafikishwa Mahakamani endapo atashindwa kufanya hivyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Economical refuges, under the pre text of political persecution.ITS A DAYLIGHT LIE. THEY ARE DISTURBED BY MISSING RUZUKU OF THE LOSTCONSTITUENTS SEAT.. Ruzuku Faru JONI DOMAIN.

    Mbona mmechanganyikiwa na mnajishuku
    baada ya Watanzania kuwatolea njee
    Maandamano na your organised sabotages

    Mmoja Hifazi ubalozini / Nyie wengine njia za panya kusepa..!!!

    Najua, mnajua kuwa, hii ni kosa la vibeko nyinyi kupewa Dhamana ndiyo mnabuni mbinu mpya za kulipaka matope
    Taifa letu ili kujijengeea Genge la desidents who will be inciting and financing violence and Riots from outside . while Salumwalimu mkiwa kamyika wote.


    ReplyDelete
    Replies
    1. Mhhhh...!!! huyu hata mvuto wa kisiasa hana.

      Au ndio Kenge katika msafara wa
      mamba..??

      Delete
  2. Potential Economical refugees, under the pre text of political persecution

    ITS A DAYLIGHT LIE. THEY ARE DISTURBED BY MISSING RUZUKU OF THE LOST CONSTITUENTS SEAT.. Ruzuku RUZUKU is A Faru JONI DOMAIN.

    Mbona mmechanganyikiwa na mnajishuku
    baada ya Watanzania kuwatolea nje
    Maandamano na your organised sabotages

    Mmoja Hifazi ubalozini / Nyie wengine njia za panya kusepa..!!!

    Najua, mnajua kuwa, hii ni kosa la vibeko nyinyi kupewa Dhamana ndiyo mnabuni mbinu mpya za kulipaka matope
    Taifa letu ili kujijengeea Genge la desidents who will be inciting and financing violence and Riots from outside . while Salumwalimu mkiwa kamyika wote.


    ReplyDelete
  3. Kigogo Muuza Twiga. Kulikoni..???

    Azikwa mpakani baada ya kuwa na gari bila makaratasi..??

    Isije kua gari la uhalifu/wizi.

    Hakikini chasiss na Eng# vituo husika ikiwemo historia yake TRA je muingizaji , ushuru stahiki ulilipiwa?
    na kama liliingizwa kinyemela linadaiwa na hatua zingine stahiki zinafatilia ukiwemo umiliki halali.

    ReplyDelete

Top Post Ad