AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyumba aliyokulia marehemu Kobe Bryant imepigwa mnada na kuuzwa kwa kiasi cha ($810,000) sawa na TSH. Bilioni 1.8
Kwa mujibu wa TMZ Sports, nyumba hiyo iliyopo mjini Pennsylvania iliwekwa sokoni mwezi Septemba kwa dau lililofikia ($899,000) ikiwa na vyumba vitano vya kulala, mabafu matatu pia goli la kikapu ambalo Kobe alilitumia utotoni mwake kujifua hadi kuwa mkali wa muda wote kwenye mchezo wa Kikapu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK