Pogba atema nyongo, Napatia wakati mgumu Manchester kuliko wakati wowote wa maisha yangu, sina furaha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kiungo wa kati wa Manchester United na Ufaransa Paul Pogba anasema kwa sasa anapitia kipindi kigumu sana cha kazi yake ya soka kutokana na muda wake wa mchezo katika Old Trafford. (RTL via Goal)

Akifanyiwa mahojiano na kituo cha RTL. amesema kuwa “Npaitia kwenye wakati mgumu sana kuliko wakati wowote ule katika maisha yangu ya soka, timu ya taifa ndio imekuwa kama pumzi ya mimi kuja kupumlia huku, ni mahala pa safi nafurahia zaidi, its magic”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad