AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Tanzania, Dkt John Magufuli atahutubia Bunge Ijumaa hii kuanzia saa tatu kamili asubuhi.
Akizungumza bungeni jijini Dodoma mapema leo hii Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema desturi ya Bunge linapoanza mara baada ya kutoka katika uchaguzi kuna hotuba ya rais wa nchi kuhutubia watanzania.
“Ninawataka Ijumaa saa tatu kamili asubuhi kuhudhuria tukio hilo bila kukosa kumsikiliza mheshimiwa rais atakachosema” Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK