Rais Magufuli "Lengo la Demokrasia ni Kuleta Maendeleo na Sio Fujo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Akiwa Bungeni Dodoma amesema lengo la Demokrasia ni kuleta Maendeleo na sio fujo kwasababu hakuna #Demokrasia isiyo na mipaka wala hakuna Uhuru na Haki isiyo na wajibu, aidha vyote vinakwenda sambamba


Kwa miaka mitano ijayo, amesema Serikali inalenga kukuza na kuimarisha Demokrasia na kulinda uhuru na haki za Wananchi pamoja na Vyombo vya Habari


Amewaambia Wabunge ushirikiano anaoutaka kutoka kwao hauna maana wakubali na kupitisha kila kitu. Amewataka kukosoa pale panapohitaji kukosolewa, lakini wakosoe kwa lengo la kuboresha na kujenga, si kukosoa tu kwa lengo la kukosoa.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Swadakta,Jemedari wetu.


    Meseji sent and delivad.

    ReplyDelete

Top Post Ad