Rais Magufuli "Utumbuaji Majipu Utaendelea"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rais Dk. John Magufuli amesema utumbuaji wa majipu utaendelea katika kipindi cha miaka mitano ijayo.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Novemba 13, wakati akilihutubia bunge kwenye mkutano wa ufunguzi wa bunge la 12 jijini Dodoma.


"Kwa miaka mitano tumewafikisha mahakamani watumishi 32,535 kwa kashfa mbalimbali lakini watumishi wazembe bado wapo, wala rushwa bado wapo, mafisadi bado wapo, kwa kifupi niseme utumbuaji wa majipu utaendelea," amesema Rais Magufuli.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad