AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Mteule wa Tanzania, Dkt. John Magufuli Novemba 5, 2020 ataapishwa katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma katika hafla itakayohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa. Wananchi wanaopenda kuhudhuria wanakaribishwa kufika uwanjani kabla saa 1 asubuhi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK