Rais Mwinyi Amwapisha Katibu wa Rais Zanzibar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




RAIS  wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi,  amemuapisha Suleiman Ahmeid Saleh, kuwa Katibu wa Rais wa Zanzibar.

Amemuapisha baada ya  kumteua Novemba 4, mwaka huu kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu cha 53 cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.


Kabla ya uteuzi huo katibu huyo alikuwa Mkurugenzi Msaidizi katika Tume ya Pamoja ya Fedha.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad