Rais wa Mexico asema hampongezi Biden mpaka hitimisho la kisheria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais Andres Manuel Lopez Obrador wa Mexico amesema hawezi kumpongeza mshindi wa urais wa uchaguzi wa Marekani, Joe Biden, mpaka taratibu za kisheria zitakapohitimishwa, akisema msimamo wake huo ni wa busara za kisiasa. 

Hapo jana mgombea wa chama cha Democratic, Joe Biden alitangazwa kuwa rais mteule wa Marekani, kufuatia ushindi wake katika jimbo la Pennsylvania ambao ulimfanya apate kura za wajumbe maalum zaidi 270 zinazohitajika. 


Rais Trump ameanzisha mchakato wa kisheria kupinga matokeo hayo, ingawa maafisa wa uchaguzi katika majimbo tofauti ya Marekani wanasema hakuna ushahidi wa maana wa udanganyifu na wataalamu wa sheria pia wakisema juhudi za Trump haziwezi kufanikiwa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad