google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Rais wa Zanzibar Amteua Suleiman Ahmed Salum Kuwa Katibu wa Rais | UDAKU SPECIAL

Rais wa Zanzibar Amteua Suleiman Ahmed Salum Kuwa Katibu wa Rais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti  wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amemteua Bwana Suleiman Ahmed Salum kuwa Katibu wa Rais.


Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Abdulhamid Yahya Mzee kabla ya uteuzi huo Bwana Suleiman Ahmed Salum alikuwa Mkurugenzi Msaidizi katika Tume ya Pamoja ya Fedha.

Uteuzi huo ameufanya Dk. Hussein Mwinyi kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu Namba 53 cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.

Rais Dk. Hussein Mwinyi kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu Namba 6(1) cha Sheria ya Shirika la Bandari Namba 1 ya mwaka 1997, amemteua Bwana Nahaat Mohammed Mahfoudh kuwa Mkurugenzi  Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar.


Uteuzi huo umeanza leo tarehe 04 Novemba, 2020.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad