Rais wa Zanzibar Dr Mwinyi Atangaza Baraza la Mawaziri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo November 19, 2020, aMEtangaza Baraza jipya la Mawaziri la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika hafla maalum inakayofanyika Ikulu.

Mwinyi amesema Katika Baraza hilo, zipo wizara mbili ambazo bado hajateua mawaziri (Wizara ya Afya na Wizara ya Biashara). Asema hajateua Naibu Waziri yeyote katika baraza hilo, atateua kama akiona kuna wizara inahitaji Naibu.


BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI ZANZIBAR:


1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uchumi na Uwekezaji – Mheshimiwa Mudrik Ramadhan Soraga.


2. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) – Mheshimiwa Masoud Ali Mohammed.


3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba na Utawala Bora – Mheshimiwa Haroun Ali Suleiman.


4. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango – Mheshimiwa Jamal Kassim Ali.


5. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi – Mheshimiwa Dokta Khalid Mohammed Salum.


6. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji na Mifugo – Mheshimiwa Soud Nahoda Hassan.


7. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali – Mheshimiwa Simai Mohammed Said


8. Wizara ya Habari, Vijana na Utamaduni – Mheshimiwa Tabia Mwita Maulid.


9. Wizara ya Biashara ya Maendeleo ya Viwanda. Hakuna Waziri.


10. Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi – Mheshimiwa Riziki Pembe Juma.


11. Wizara ya Maji na Nishati – Mheshimiwa Suleiman Masoud Makame.


12. Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto. Hakuna Waziri.


13. Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale – Mheshimiwa Lela Mohammed Mussa.


14. Wizara ya Uchumi wa Bluu na Uvuvi – Mheshimiwa Abdallah Hussein Kombo.


15. Wizara ya Ujenzi – Mheshimiwa Rahma Kassim Ali.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Good Choice, to start with.
    performance is the key.

    ReplyDelete

Top Post Ad