Roma Mkatoliki "Hivi ni PISI Zimekuwa Cheap Au ni Wanaume ?"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Msanii wa muziki wa HipHop Roma Mkatoliki, @roma_zimbabwe ameeleza kuwa anapata hofu sana kwa watoto wanaozaliwa na kulelewa kwa sasa kwa sababu kesho yao ya mahusiano itakuwa na changamoto kubwa kutokana na mapenzi ya siku hizi yamekuwa rahisi.


Akifunguka hilo kupitia post yake aliyoweka kwenye ukurasa wake wa Instagram na Twitter, #Roma ameandika kuwa.. 


"Napata hofu sana na watoto wetu tunaowazaa na tunaowalea kwa sasa, kesho yao ya mahusiano itakuwa na changamoto kubwa sana, mahusiano au mapenzi yamekuwa rahisi siku hizi, yaani hakuna kutongozana mnajikuta tu mmeshaanza mahusiano".


"Unakuta kwenye party ya mwamba kuna pisi 8 na zote zinajijua zina-date na huyo mwamba halafu fresh tu daah, hivi ni pisi zipo cheap au wanaume tumekuwa cheap" ameongeza.


Una mtazamo gani juu ya hili? Tuambie ______


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad