Senzo Mikononi mwa Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




ALIYEKUWA  Mtendaji Mkuu (CEO) wa Simba, Senzo Mbatha,  anashikiliwa na  polisi kwenye kituo cha Oyster Bay ambapo imeelezwa sababu ni kuhusiana na tuhuma za mawasiliano yake na Hashim Mbaga  yanayodhaniwa yalilenga kuihujumu Simba (kupanga matokeo) kwenye michezo kadhaa.



Hivi karibuni Mbaga (aliyekuwa Mkurugenzi wa Wanachama na Mashabiki-Simba) alikamatwa na Polisi kwa tuhuma za kuihujumu Simba.


Katika hali isiyotarajiwa miezi michache iliyopita Senzo aliandika barua ya kujiuzulu  na baadaye siku chache kutimkia kwa watani wa Simba ambao ni Yanga,  anakofanya kazi mpaka sasa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad