AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shilole leo amekumbushiwa na wana habari kuhusu baadhi ya wasanii waliomuahidi vitu mbalimbali siku ya harusi yake na Uchebe ambapo Jux aliahidi kuwasomesha watoto wake @diamondplatnumz aliahidi kuitangaza bidhaa ya Shishi Chil huku @harmonize_tz aliahidi kumzawadia gari aina ya Noah .
@officialshilole ameweka wazi kuwa @harmonize_tz alishamlipaga ila bado @diamondplatnumz na @juma_jux
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK