Spika Awaonya Wabunge CHADEMA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai,  amesema kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za Bunge hilo, wabunge 19 wa viti maalumu kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), endapo hawatohudhuria mikutano mitatu ya Bunge, watakuwa wamejifukuzisha ubunge wenyewe.

“Kwa hawa wa viti maalumu (CHADEMA), mkutano huu unaoendelea ni wa kwanza, wa Januari ni wa pili na wa Aprili ni wa mwisho kama hawatohudhuria watakuwa wamejifukuza wenyewe kwa mujibu wa katiba,” amesema Ndugai

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ni wakati, muafaka kuileta Mada hii na
    kubadilisha katiba yetu kuendana na Uhalisia na Wakati. Ukizingatia yaliyo
    Jidhihirisha katika Uchaguzi uliopita

    Wanasiasa kkutumika kama Vibaraka na wanaoficha hali yao ya kiafya na Waleta Taharuki katika Jamii na Wahamasishaji wa Uvunjifu wa Amani walio Jaa Uchu wa kuiona Damu ya Mtanzania inamwagika na Mwishoni wana
    Rudi kwa Mabwana zao, baada ya mbinu zao Ovu kutofanikiwa.

    Ukweli kwenda mbele Kura zetu hatutowapa tena. wasio na sera waingiza vilipukaji nchini.

    Sheria kutunga na kurekebisha ni Sisi.

    Pia ningeomba tuangalie urekebishaji wa Ukomo wa Mkuu wa Nchi ikiwa sisi wananchi tunamtaka na tutamuombaa tokea ngazi za Kata mpaka Wilaya/Mkoa
    hadi Taifa. HILI SI JEMBE LA KULIACHIA

    Wenye Macho wameona, na wenye masikio
    pia wamesikia..MAGU WETU.NDIO GUMZO LA DUNIA KWA SASA.

    ReplyDelete

Top Post Ad