AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MSANII na mwanamitindo maarufu nchini Nigeria, Pretty Mike, aliibua gumzo kubwa katika jamii alipohudhuria harusi ya mwigizaji Williams Uchemba, huku akiwa na marafiki zake sita wa kike wakiwa wajawazito.
Katika kawaida yake ya kutaka umaarufu, Pretty Mike aliwatambulisha wanawake hao mmoja baada ya mwingine, jambo ambalo lilisambaa kwa haraka na kuwa kivutio kikubwa katika mtandao wa intaneti, mitandao ya kijamii na magazeti
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK