Taharuki yaibuka!! Ferrari ya Ginimbi yataka kuwaka moto wakati wakuaga Mwili wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Ni Novemba 13, 2020 ambapo wananchi waishio nchini Zimbabwe mjini Harare waliweza kuuwaga mwili wa mpendwa wao, sasa taharuki iliyotoka huko leo ni baada ya gari lake lingine aina ya Ferrari lililokuwa likiendeshwa na rafiki yake kutaka kuwaka moto barabarani.


Gari hilo lilikuwa kwenye msafara wa kuelekea mahali ambapo palikuwa pakifanyika shughuli za kuuwaga mwili wa Ginimbi huko Harare nchini Zimbabwe


Itazame hii video hapa ujionee kila kitu kuanzia watu walivyoaga mpaka gari hilo kutoka kuwaka moto

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad