Tanzia: Kamanda Kidavashari Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



NAIBU Kamishna wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, Zahir Kidavashari,  amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne, Novemba 17, 2020 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya DCMC Ntyuka jijini Dodoma.


Kidavashari aliwahi kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya.


Akizungumza na Global Digital, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, SACP Gilles Muroto amethibitisha kutokea kwa msiba huo.


“Taarifa za msiba huo ni za kweli, Kidavashari amefariki dunia.” 


Taarifa zaidi tutakueleta….



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad