Tatizo la KULA Udongo na Visababishi Vyake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Ulaji wa udongo kitaalamu hufahamika kama Geophagy. Kula udongo huhusishwa na upungufu wa Madini Chuma Mwilini na mara nyingi huonekana kwa Wajawazito


Ulaji wa Udongo umefanyika kwa miaka mingi sana mpaka sasa ingawa hutofautiana kwa Nchi na Nchi, na imeonekana kuwa tabia ya kawaida hasa kwa Wajawazito


Ni mara chache sana Daktari kumshauri Mgonjwa au Mjamzito kula udongo, kwasababu ingawa Udongo unaweza kusaidia lakini pia, unaweza kubeba sumu na kuhatarisha Maisha ya mhusika.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad