AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kipande cha video kikimuonyesha mfuasi wa Mgombea Urais wa Uganda Robert Kyagulanyi ‘ Bobi Wine’ akiwa amekamatwa na Polisi nchini humo, baada ya mfuasi huyo na wenzake kupinga kukamatwa kwa ‘Bobi Wine’ mapema jana katika Wilaya ya Luuka.
Bobi Wine alikamatwa Jana na Polisi kwa kosa la kujaza wafuasi zaidi ya 200 katika mkutano wake wa kampeni, kinyume na kanuni za Tume ya Uchaguzi Uganda (EC).
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK