TMA yatabiri mva kubwa kunyesha leo Dar, Lindi na Pwani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kunyesha kwa Mvua kubwa leo (Novemba 24) katika Mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Pwani na kuwataka wananchi wa maeneo hayo kuchukua tahadhari

Taarifa ya TMA na Utabiri wa siku 5 inasema mvua ya leo inaweza kusababisha athari mbalimbali pamoja na baadhi ya makazi kuzungukwa na maji na kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad