Tommy Flavour wa Alikiba akata mzizi wa fitna

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa lebo ya Kings Music ya Alikiba Tommy Flavour amesema hataki kufananishwa na wasanii wengine ambao wapo kwenye menejmenti zingine kwa sababu kila mtu ana mikakati yake kwenye suala zima la kufanya kazi.


Tommy Flavour amesema 'promotions' wanazofanyiwa wasanii wengine kwenye lebo zao wala hata hazimshuti ila anachoamini ni uwezo na kipaji cha mtu ndiyo kitamfanya awe juu kuliko kutumia nguvu ya 'promotions'.


"Hata kama unam-promote vipi msanii ila uwezo na kipaji chake ndiyo kitambeba na ndiyo itamfanya aendelee kwenye muziki, mimi naamini nitafika mbali na menejmenti yangu itanifikishia hilo, hata walivyonisaini haikuwa kwa ajili ya kunishindinisha na wasanii wengine kutoka lebo zingine" amesema Tommy Flavour 

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad