Tuzo ya AFRIMMA niliyopata imenipa ari ya kuendelea kufanya kazi kwa bidii - Zuchu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa Kizazi kipya Bongo Fleva Zuhura Othman maarufu ZUCHU kutoka lebo ya muziki ya WASAFI amesema tuzo aliyojishindia ya AFRIMMA ni kielelezo tosha kwamba Muziki wake unatazamwa ulimwenguni hivyo kuwaomba Watanzania kuendelea kumuunga mkono katika kazi zake.

Akizunguza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam ZUCHU amesema Watanzania wanamchango mkubwa katika mafanikio yake hivyo kuwaomba kuendelea kuifuatilia kazi zake.


"Tuzo ya AFRIMMA niliyopata imenipa ari ya kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili nifike mbali zaidi na hii inaonyesha ni kwa jinsi gani Muziki wangu unatazamwa ulimwenguni"Amesema ZUCHU.


Pia amewahasa watoto wa kike wanaochipukia kama kimuziki wasikate tamaa bali waendelee kupambana ili siku moja waone matunda ya kazi zao.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad