AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Twiga mweupe duniani huko kaskazini mashariki mwa Kenya amewekewa kifaa cha kumfuatilia, wahifadhi mazingira wanasema.
Twiga huyo alisalia peke yake baada ya wawindaji haramu kumuua twiga wa kike na mtoto wake wa rangi hiyo hiyo mnamo mwezi Machi katika kaunti ya Garissa nchini Kenya.
Kifaa hicho kimewekwa katika moja ya pembe zake ambacho kinatoa taarifa za eneo alipo kila baada ya saa moja.
Hatua hiyo itawezesha wahudumu kufuatilia mienendo yake na kumlinda dhidi ya wawindaji haramu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK