Ujumbe wa Rapa Roma Mkatoliki kwenda kwa Wasanii wa Kuimba Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Ujumbe wa Rapa Roma Mkatoliki kwenda kwa Wasanii wa Kuimba Tanzania;

"Wasanii wa Kuimba wengi inabidi wabadilishe Style yao ya Uingiaji Jukwaani!! Wengi wanaingia kwa Kukimbia 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃🏃 wakifika pale mbele wanaanza kurukaruka kwa Ku- Hype! Sio kitu kibaya 🙌🙌🙌🙌 ila isiwe sasa kila msanii. Wamuachie mmoja tu aliyeianzisha, Wasiigane igane!


Ingieni hata mnatembea tu mdogo mdogo kama hautaki Vile, mbona fresh tu!! Ukiwa mnyama na una mawe yako matatu tu ya mauaji Aaaaaah.... Fans Wataamka Tu Watake Wasitake 🔧" ameandika @roma_zimbabwe kwenye Twitter.


Upi mtazamo wako kuhusu hili, tuachie comment yako.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad