Uteuzi wa wabunge viti maalum CHADEMA ulifuata sheria- Prof Kilangi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mwanasheria Mkuu wa Tanzania Profesa Adelardus Kilangi amewaonya CHADEMA kutowabugudhi wabunge wa chama hicho wa viti maalum kutoka chama hicho.
Profesa Kilangi amesema, mchakato wa Wabunge wa viti Maalum kutoka CHADEMA umefuata Sheria na Katiba, hivyo hawapaswi kubugudhiwa.

Awali Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai alisema, kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda Wabunge walio wachache na maslahi yao na kuahidi kufanya hivyo kwa nguvu zake zote,

Kuhusu Wabunge 19 wa viti Maalum kutoka CHADEMA Bw Ndungai alisema wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu.Amesema majina ya wabunge wa viti maalum alipewa na na Tume ya Uchaguzi, na kazi yake ni kuwaapisha Wabunge hao na ameshafanya hivyo.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hili ni Dhahiri kuwa yule wa kule nje
    hakupenda kuona minyika amesha peleka
    Wateuuliwa, ndiyo akaanzisha magenge ndani huku akijua fika ile justification yake ya kumwaga Damu haitokuwa na Mashiko. Minyika yuko njia ya dilemma .

    Kina mama Oyeee.
    Tufikirie Takrim yao 2025 tunzo depends on their performance ktk kulitumikia taifa.

    ReplyDelete

Top Post Ad