VIDEO: Machafuko Uganda, Risasi, Mabomu vyarindima, Wanamtaka Bobi Wine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Waandamanaji wameibuka Jijini Kampala nchini Uganda baada ya Polisi kumkamata Mgombea Urais, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine akiwa anaendelea na Kampeni.


Watu kadhaa wamefariki na wengine kujeruhiwa baada ya Polisi kujaribu kuzuia maandamano hayo kwa risasi za moto na mabomu ya machozi.


Waandamanaji waliziba njia na kuchoma matairi mara baada ya kupata taarifa za kukamatwa kwa Bobi Wine, waandamanaji wengine walionekana wakichana picha ya Rais Yoweri Museveni.


VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Amani ya Uganda, Ni Amani yetu wana EAC.
    Mzee Museveni ni Kipenzi cha Waganda na sisi Wazalendo tunalo Bomba lao nchini kwetu.

    Habari za Uganda mziripoti kwa Umakini na Weledi wa fani ya habari.ukizingatia Undugu/Biashara/Ujirani mwema/Na Historia

    ReplyDelete

Top Post Ad