Wabunge 19 Viti Maalum Chadema waapishwa bungeni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Wabunge 19 wa Viti Maalum Chadema leo Jumanne Novemba 24, 2020 wameapishwa na Spika wa Bunge,  Job Ndugai katika viwanja wa Bunge mjini Dodoma.

Ndugai alikuwa na mkutano leo bungeni lakini kabla ya kuanza kwa mkutano huo, walionekana baadhi ya wabunge hao ambao baadhi walikuwa wabunge katika Bunge lililopita.


Baadhi ya walioapishwa ni Halima Mdee, Grace Tendega, Esther Matiko, Jesca Kishoa na Ester Bulaya.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad