Wachimbaji Wajeruhiwa kwa Mapanga, Visu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



WACHIMBAJI wadogo wanane wajeruhiwa kwa silaha za jadi yakiwamo mapanga, visu sehemu mbalimbali za miili yao katika machimbo ya dhahabu ya Irasanilo, Buhemba, yaliyopo wilayani Butiama mkoani Mara chanzo kikiwa ni kugombania maduara ya uchimbaji.


Baadhi ya majeruhi hao wamesema wakiwa wanaendelea na uchimbaji ndani ya mashimo, walivamiwa na kundi la watu ambao walianza kuwashambulia kwa nondo, mawe na kuwachoma na visu sehemu mbalimbali za miili.


Akizungumzia tukio hilo mmiliki na katibu wa duara hilo namba tisa (A), Mwajuma Seif amesema kabla ya tukio hilo duara hilo lilikuwa na mgogoro huku uongozi wa wachimbaji hao wadogo mkoani Mara, wakatoa tamko la kulaani tukio hilo la kikatili kwa wenzao.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad