Wanaodaiwa kutaka kuchoma moto nyumba ya Katambi wakamatwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Polisi Mkoani Shinyanga imewakamata watu tisa kwa tuhuma za kutaka kuchoma moto nyumba ya Mbunge Mteule wa Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi kupitia CCM.

Miongoni mwa watuhumiwa ni aliyekuwa mgombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Salome Makamba, ambaye kwa sasa yuko nje kwa dhamana.


Watuhumiwa wengine ni wanaume nane wanaoendelea kuhojiwa na upelelezi ukikamilika, watawafikisha Mahakamani.


Watuhumiwa waliposhawasha moto, Katambi na wenzake walisikia kishindo juu ya paa la choo cha nje na wakaona moto ukiwaka huku pembeni yake kukiwa na dumu lenye mafuta ya petroli ndipo wakanza kuzima moto huo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad