AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika miezi 10 ya kwanza ya mwaka 2020, kesi 204,291 za maambukizi za ugonjwa wa kipindupindu zilionekana nchini Yemen ambapo watu 53 walipoteza maisha.
Katika taarifa iliyotolewa kwenye akaunti ya Twitter na ofisi ya Yemen ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO), iliarifiwa kuwa watu 204,291 wanaoshukiwa kuwa kesi za maambukizi ya ugonjwa wa kipindupindu waligundulika nchini Yemen katika miezi 10 ya kwanza ya mwaka.
Taarifa zaidi zilifahamisha kwamba watu 53 walifariki kutokana na visa vya ugonjwa wa kipindupindu, na kuelezwa kuwa WHO iliendeleza msaada wake wa serikali ya Yemen kwa ajili ya mapambano dhidi ya kipindupindu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK