Watu 7 Mbaroni Kwa Kuhujumu Miundo Mbinu ya Reli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jeshi la Polisi #Tanzania limewafikisha Mahakama ya Kibaha Watu saba wakituhumiwa Kuhujumu Uchumi kwa kukutwa wakisafirisha vyuma chakavu vikiwemo vyuma vilivyoibiwa kwenye Reli

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Richard Boaz amesema, miongoni mwa Watuhumiwa waliofikishwa Mahakamani ni pamoja na Mawakala na Wafanyabiashara wenye Viwanda vya Kuchakata Vyuma Chakavu

Boaz amesema, Serikali inatumia fedha nyingi kuimarisha miundombinu ikiwemo ya Reli lakini baadhi ya watu wasio wema na wenye uchu wa mali wamekuwa wakihujumu jitihada hizo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad