Wavuvi 8 wafariki baada ya mashua kuzamishwa kwa dhoruba kali Somalia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Wavuvi 8 wameripotiwa kupoteza maisha baada ya mashua kuzamishwa kwa dhoruba kali za mawimbi nchini Somalia.
Wavuvi hao waliozama na kufariki wamebainishwa kuwa raia wa Yemen.

Dhoruba kali ya mawimbi ilitokea hapo jana nyakati za usiku na kuathiri maeneo ya Bosaso na Hafun yaliyoko mkoani Puntland. 

Mvua nyingi zilizonyesha na upepo mkali uliopiga pia uliharibu nyumba na barabara za maeneo hayo.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad