AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wavuvi 8 wameripotiwa kupoteza maisha baada ya mashua kuzamishwa kwa dhoruba kali za mawimbi nchini Somalia.
Wavuvi hao waliozama na kufariki wamebainishwa kuwa raia wa Yemen.
Dhoruba kali ya mawimbi ilitokea hapo jana nyakati za usiku na kuathiri maeneo ya Bosaso na Hafun yaliyoko mkoani Puntland.
Mvua nyingi zilizonyesha na upepo mkali uliopiga pia uliharibu nyumba na barabara za maeneo hayo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK