AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ametangaza kujitenga baada ya kukutana na Mbunge wa Ashfield, Lee Anderson ambaye baadaye alithibitishwa kuwa na Virusi vya Corona.
Johnson amesema, alitafutwa na Mamlaka na kutakiwa kufanya hivyo kama taratibu zinavyoelekeza, japokuwa hana dalili zozote za COVID19 baada ya kuwa karibu na Anderson kwa takriban dakika 35.
Mwezi Aprili, Waziri huyo aligundulika na Ugonjwa huo na kulazwa ICU kwa siku 3. Hadi sasa Uingereza imerekodi visa 1,369,318 na vifo 51,934.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK