Waziri Mkuu wa Uingereza ajitenga tena baada ya kukutana na mtu mwenye corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




 Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ametangaza kujitenga baada ya kukutana na Mbunge wa Ashfield, Lee Anderson ambaye baadaye alithibitishwa kuwa na Virusi vya Corona.


Johnson amesema, alitafutwa na Mamlaka na kutakiwa kufanya hivyo kama taratibu zinavyoelekeza, japokuwa hana dalili zozote za COVID19 baada ya kuwa karibu na Anderson kwa takriban dakika 35.


Mwezi Aprili, Waziri huyo aligundulika na Ugonjwa huo na kulazwa ICU kwa siku 3. Hadi sasa Uingereza imerekodi visa 1,369,318 na vifo 51,934.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad