AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amelazimika kwenda tena Karantini kufuatia kuwa karibu na Mtu ambaye amethibitika kuwa na corona, Boris aliwahi kuugua corona hadi kulazwa ICU, lakini kwa mipango ya Mungu na kwa msaada wa Madaktari baadaye alifanikiwa kupona.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK