Wema Aanika Alivyoteseka Baada ya Zari Kupata Mimba ya Mondi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



NDIO hivyo Bwana! Mrembo kutoka katika kiwanda cha filamu nchini Wema Sepetu hivi karibuni amesema kuwa hakuna kitu kilimuumiza baada yakuona Zari ametembea na aliyekuwa mpenzi wake Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwa miezi miwili tu nakupata mimba

Akizungumza na moja ya vyombo vya habari nchini mrembo huyo alisema kwamba hicho kipindi kilimuumiza sana na kumfanya kutambua kuwa kumbe yeye ndio alikuwa na matatizo ya uzazi na sio Mondi

“ Zari alivyopata mimba ya Mondi nilikuwa na uhakika mimi ndio mwenye tatizo, iliniuma sana, nilikuwa nikimuangalia Zari kama vile anaishi yale maisha ambayo mimi ndio nimehangaika nayo, najiuliza nakosa nini?,” Alisema Wem

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad