Wizi wa Mafuta, Ewura Yawataka Wenye Magari Kuwa Makini....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Titus Kaguo, amewataka wanaokwenda kujaza mafuta kuhakikisha pampu inasomeka alama 00 ndipo waanze kujaziwa mafuta, vinginevyo wanaweza kuibiwa.


Ili kuepuka usumbufu, wenye Magari wanashauriwa kuachana na tabia ya kubaki kwenye magari wakiendelea na mambo mengine kwa kuwa hali hiyo inatoa mwanya wa kuibiwa


Ameongeza kuwa, Wakala wa Vipimo (WMA), imekuwa ikifanya ukaguzi wa pampu za Vituo mara kwa mara kuhakikisha watumiaji hawaibiwi, lakini wanunuzi wa mafuta nao wanapaswa kuwa waangalifu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad