Yemi Alade Amuunga Mkono Vanessa Mdee "Kiwanda Cha Muziki ni Kigumu Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya Vanessa Mdee, mwimbaji Yemi Alade anaongezeka kwenye orodha ya wasanii wa Kike ambao wanakitupia lawama kiwanda cha muziki pamoja na biashara nzima.

Kwenye ukurasa wake wa twitter, Yemi Alade ameandika "Biashara ya muziki ni ngumu sana, hakuna mtu anayetaka kukufurahia hadi unapoanza kupata mafanikio. Ninaomba tutieni nguvu, sio rahisi." ameandika Yemi Alade ambaye ni miongoni mwa waimbaji nyota wa Kike barani Afrika.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad