Zari Athibitisha Kuachana na Aliyekuwa Akimtangaza Kama Mpenzi Wake Aliyemtambulisha Kama "King Bae"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mrembo na Mwanamama @zarithebosslady amethibitisha kuachana na mwanaume wake aliyemtambulisha mtandaoni kama ‘King Bae’ ambaye alifikia hadi hatua ya kumvisha pete ya uchumba.


Ikumbukwe, mara baada ya #Zari kuachana na #Diamond Februari mwaka 2018, na hii ni baada ya #Zari kutangaza jambo hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram, kwamba msanii huyo amekuwa akimsaliti kwa kuwa na wanawake wengine, #Zari alikaa kwa muda kidogo ndipo akaweka wazi kuwa kwenye mahusiano na mwanaume huyo ambaye hakuwahi kumuonyesha Sura.


Akizungumza na Wasafi TV mwishoni mwa Wikiendi, #Zari amesema kuwa ni kweli mwanaume huyo alikuwepo na wala haikuwa kiki lakini kuna vitu kati yao vilitokea hadi kupelelea mahusiano yao kuvunjika.


Kwa takribani wiki moja sasa #Zari amekuwa kwenye headsline upande wa stori za burudani hapa nchini kutokana na ujio wake na watoto wake, #Tiffah na #Nillan aliowaleta kumuona baba yao mzazi, msanii Nasib Abdul @diamondplatnumz.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad