Abdu Kiba afunguka sakata la Mke wa Alikiba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 




Mdogo wa msanii Alikiba kutoka Kings Music Records,  Abdu Kiba amevunja ukimya kwa kile kinachoendelea mitandaoni kuhusu video ya Nandy na Alikiba kwamba imesababisha sintofahamu kwenye ndoa ya kaka yake huyo na shemeji yake Aileenalora.


Akijibu kuhusiana na hilo baada ya kusambaa kwa maneno kuhusu matendo ya video hizo za nyuma ya kamera katika wimbo wa nibakishie ya Nandy ft Alikiba, Abdukiba amesema kuwa 


"Siwezi kujibu suala la Ali na mke wake kwa sababu silali nao hivyo sijajua kuna nini, ila kwenye familia hakuna tatizo kwa sababu wanajua sisi ni wanamuziki pia tushapata idhini kutoka kwa Mama ingawa kunaonekana na kuhisiwa kuna matendo tofauti, kazi za mitandaoni hatuwezi kuzijaji na huwezi kumpangia mtu akujibu nini" amejibu Abdu Kiba 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad