Ajali ya Basi la Frester Yaua Mtoto Kahama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



 

MTOTO mmoja amefariki dunia na wengine kujeruhiwa kufuatia basi la Kampuni ya Frester lenye namba za usajili T 965 DFT lililokuwa linatokea Kahama kuelekea Musoma kuacha njia na kupinduka katika eneo la Phantom, Kahama mkoani Shinyanga baada ya dereva wa basi hilo kutaka kulikwepa gari dogo leo Alhamisi, Desemba 17, 2020.



Tayari Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamlingi Macha, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo nmuda mfupi baada ya kuanza safari. Endelea kufuatilia taarifa zetu.

 

By Edwin Lindege | Global Publishers

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad