AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Mteule wa Marekani, Joe Biden amesema Chanjo itakapopatikana, raia wa Marekani hawatalazimishwa kuitumia. Amesema, atafanya kila analoweza kama Rais kuhimiza wananchi kuchukua maamuzi sahihi
Kauli yake inakuja baada ya Kituo cha Kudhibiti Magonjwa (CDC) kushauri watu kuvaa barakoa hata wanapokuwa maeneo ya wazi, isipokuwa wakiwa nyumbani
Biden ambaye ataapishwa kuwa Rais mwakani pia amesema anatarajia hafla ya uapishwaji haitohusisha kundi kubwa la watu kutokana na mlipuko wa Corona Virus.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK