Biden “Wamarekani hawatalazimishwa kupata chanjo corona”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais Mteule wa Marekani, Joe Biden amesema Chanjo itakapopatikana, raia wa Marekani hawatalazimishwa kuitumia. Amesema, atafanya kila analoweza kama Rais kuhimiza wananchi kuchukua maamuzi sahihi
Kauli yake inakuja baada ya Kituo cha Kudhibiti Magonjwa (CDC) kushauri watu kuvaa barakoa hata wanapokuwa maeneo ya wazi, isipokuwa wakiwa nyumbani

Biden ambaye ataapishwa kuwa Rais mwakani pia amesema anatarajia hafla ya uapishwaji haitohusisha kundi kubwa la watu kutokana na mlipuko wa Corona Virus.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad