Bila uoga, Marioo amjibu kiutu uzima Harmonize

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii Marioo ameipinga kauli ya msanii na 'boss' la lebo ya Konde Gang Harmonize kwa kusema wimbo wake wa Ushamba ndiyo wimbo bora kati ya nyimbo zote zilizotoka mwezi Novemba.


Marioo amesema wakati Harmonize anatoa kauli hiyo wimbo wake 'mama amina' ulikuwa haujatoka ila ingetoka asingeweza kusema hivyo.


"Wimbo wangu umetoka mwezi wa 11 una wiki sasa, kipindi kile anasema hivyo wimbo wangu ulikuwa bado haujatoka kama ingetoka sidhani kama angeweza kuongea vile, dude langu hili ni 'hit song' na la moto kuliko magoma yote yaliyotoka sasa hivi" amesema Marioo

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad