Breaking News: Mwigizaji Jengua Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mzee Mohammed Fungafunga maarufu katika tasnia ya filamu kama "Jengua" amefariki dunia leo Desemba 15, Mkuranga mkoani Pwani baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Kwa mujibu wa taarifa, Marehemu Jengua alikua akisumbuliwa na Maradhi ya Kupararaizi.

udaku tunatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki pamoja na wanatasnia wote kwa ujumla kwa kuondokewa na mkongwe huyo wa filamu nchini.

#Tanzia
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad