Breaking: Rais Magufuli Amtumbua Mkurugenzi Igunga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


RAIS  John Magufuli, leo Desemba 28, 2020 ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Revocatus Kuuli.

 

Katika taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Magufuli ametengua uteuzi wa Kuuli kutokana na kukabiliwa na tuhuma za kutwaliwa kwa ardhi ya wananchi bila kufuata utaratibu, utendaji usioridhisha na matumizi mabaya ya fedha za serikali.

 

Pia amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Dk. Philemon Sengati, kuteua Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo mara moja



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad