Chanjo ya Kwanza ya Corona Marekani Yatolewa Kwa Mwanamke Huyu Mweusi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Chanjo ya kwanza ya COVID-19 mjini New York imetolewa leo Jumatatu, na mpokeaji wa kwanza ni mwanamke mweusi aitwaye Sandra Lindsay anayefanya kazi ya Uuguzi katika kituo cha Afya kilichopo Queens New York.


Kabla ya kupewa Chanjo hiyo, Sandra alipongezwa kwa kutaka kitendo hicho kiwe hadharani. Taifa la Marekani limetangaza kupatikana kwa chanjo ya COVID-19 na itaanza kutolewa kwa wananchi hivi karibuni.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad