Christian Bella: Fally Ipupa ni Mkubwa Afrika, Diamond ana Nyota Kali Sana (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msanii wa muziki Christian Bella amefunguka kwa kuzungumzia tofauti ya ki-brand kati ya wasanii wa Tanzania na wamataifa mengine huku akidai kwamba Fally Ipupa ni mmoja kati ya wasanii wenye mafanikio zaidi Afrika.


Bella amedai Diamond Platnumz ana nyota kali ndio maana muziki wake ni rahisi kupenda kila kona kutokana na juhudi zake za kazi.


Mkali huyo wa masauti ambaye ameachia nyimbo mbili kwa mpigo Tingisha Mguu na Alenda amewataka mashabiki wake kuendelea kufurahia muziki mzuri.

VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad